THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL

Prof. Lilian Msele

Chairperson

Agness Mtawa

Registrar

News & Events

MAJALIWA: WAKUNGA ZINGATIENI WELEDI KWENYE UTOAJI WA HUDUMA.

MAJALIWA: WAKUNGA ZINGATIENI WELEDI KWENYE UTOAJI WA HUDUMA.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakunga na wataalamu wengine wa afya nchini kufanya kazi kwa weledi na kuongeza bidii katika kutoa huduma kwa wananchi wanaowahudumia. Amesema kuwa kada zote za afya zinasimamiwa na

Read More
Heri ya siku ya wafanyakazi Duniani / Mei Mosi 2024

Heri ya siku ya wafanyakazi Duniani / Mei Mosi 2024

Wafanyakazi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) wameshiriki Katika Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Katika Maadhimisho hayo Mgeni rasmi ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma

Read More
TNMC NA UKUSANYAJI WA MAONI YA SHERIA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA.

TNMC NA UKUSANYAJI WA MAONI YA SHERIA YA UUGUZI NA UKUNGA TANZANIA.

Baraza la uuguzi na ukunga Tanzania TNMC, limeendelea kukusanya maoni kwa wauguzi na wakunga wa Halmashauri za Wilaya za Wanging"ombe na Makete mkoani Jombe, zoezi hili linalengo la kuihuisha ili kuiboresha Sheria ya uuguzi na

Read More
TNMC YAWATUNUKU VYETI NA LESENI WAUGUZI NA WAKUNGA WAPYA 415.

TNMC YAWATUNUKU VYETI NA LESENI WAUGUZI NA WAKUNGA WAPYA 415.

Mwenyekiti wa baraza alitaka baraza kuendelea kusimamia viwango vya taaluma Muuguzi Mkuu wa Serikali awakaribisha Wauguzi na Wakunga wapya katika kada ya Afya. Wauguzi na wakunga wapya 415 wametunukiwa vyeti na usajili na leseni katika

Read More
PREV NEXT

Sheria

Sheria No. 1 ya Mwaka 2010

Kanuni

Kanuni za Baraza

Mahitaji ya kuanzisha Chuo

Nursing School Establishment Checklist

MWONGOZO

Nursing and Maternity Home

Some of our Partners